Nimejaribu kujiua zaidi ya mara nne- Saida Karoli

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Saida Karoli ambaye aliwahi kufanya vizuri na nyimbo kama ‘Mapenzi kizunguzungu’, Kaisiki, Maria Salome na nyingine kibao na alifanikiwa kuliteka soko la Afrika Mashariki kwa nyimbo hizo na kujipatia umaarufu mkubwa mwanzoni mwa miaka ya 2000, amefunguka kuwa amewahi kujaribu kuataka kujiua.

Akizungumza katika Promo ya mahojiano ya kipindi cha #TakeOne kinachorushwa na CloudsTv Saida karoli amesikika akisema kuwa ameshawahi kufanya majaribio ya kutaka kujiua zaidi ya mara nne.


Hata hivyo kupitia Promo hiyo amesikika akisema akisema yeye ni Mama wa watoto watano ambapo kila mtoto ana baba yake na kongeza kuwa hana mpango kutoa kizazi hivyo ataendelea kuzaa mpaka Mungu atakapowambia basi.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad