Kimenukaaa..Mama Wema Awatimua Mashoga wa Wema Nyumbani Kwake,...!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Bado sakata la mama wa Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu  , Mariam Sepetu  kudaiwa kumrekodi bila ridhaa yake mchekeshaji Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ kisha sauti hiyo kuitupia mitandaoni, kuna siri mpya imebainika ndani yake ya kuwatimua wanaume tata ‘mashoga’ nyumbani kwa mwanaye huyo.

Katika sauti hiyo ambayo, mama Wema alisikika akimshushia lawama nzito Steve kwa kitendo chake cha kutokwenda kumuona Wema aliposhikiliwa mahabusu katika Kituo Kikuu cha Polisi Dar ‘Sentro’ na Steve kujitetea kwamba alifanya hivyo kwa sababu alikwenda Dodoma kuonana na wabunge ili wamsaidie Wema kutoka, lakini jambo jipya ni mama Wema kukiri kuwafukuza mashoga hao nyumbani kwa mwanae.

Mama Wema katika mazungumzo yake kwenye sauti hiyo, alisema kuwa yeye hapatani au hafugi ujinga na ndiyo maana hata ‘wale’ mashoga waliokuwa nyumbani kwa Wema, Ununio, aliwatimulia kwa mbali. “Mimi sipendagi ujinga. Wale mashoga nimewafukuza wote pale, hawapo tena…” alisikika mama Wema akimwambia Steve Nyerere huku akitumia sauti ya kujigamba. Kumekuwa na madai kwamba, baadhi ya mastaa Bongo wamekuwa wakiishi na wanaume ‘tata’ (mashoga) bila kujulikana madhumuni yake.

“Unaweza kukuta staa anaishi na mashoga watatu mpaka wanne na imekuwa fasheni sasa, kila staa anao nyumbani kwao, sijui kwa madhumuni gani?” kilihoji chanzo kimoja baada ya kumsikia mama Wema akidai kuwatimua mashoga hao nyumbani kwa binti yake. “Kwa sauti hii, nimeamua mama Wema si wa mchezomchezo.

Unajua mama kufunga safari mpaka nyumbani kwa binti yake na kutibua utaratibu wake si jambo dogo.

“Wa mama wengine wanashindwa kufanya hivyo kwa sababu wanaamini binti au mtoto kwa vile ameshafikisha miaka 18 basi ni mkubwa anatakiwa kujitawala. Noo! Mtoto ni mtoto tu, kwa mama hakui hata angekuwa mkubwa,” kilizidi kusema chanzo hicho.

Miezi ya nyuma, msanii wa filamu aliyewahi pia kuwa mtangazaji, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ aliwahi kuandikwa kwa habari za kudaiwa kuishi na mashoga. Lakini pia baadhi ya mastaa wamewahi kuandikwa kwa madai ya kuwa karibu sana na
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad