Profesa Kitila Mkumbo: Kuna Nini Kati ya Magufuli na Makonda?..!!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwanasiasa kutoka chama cha ACT wazalendo anaonekana kushangazwa na Magufuli alivyomkingia kifua Makonda mkuu wa mkoa wa Dar na amehoji kuna nini hadi Magufuli asimuengue Makonda?

Amesema Magufuli amekuwa akitengua watu madarakani haraka hata kwa makosa ambayo yanakuwa hayahitaji mtu kuenguliwa lakini kwa hili la Makonda Magufuli amekuwa akimng'ang'ania kitu amabacho kina zua maswali mengi kwa wadau wengi
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad