Shilole azungumzia la kuvunja ndoa ya Nuh Mziwanda

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa muziki na filamu Shilole amekanusha kurudiana na aliyekuwa mpenzi wake wa zamani Nuh Mziwanda ambaye kwa sasa ameoa mwanamke mwingine aitwae Nawal.


Kupitia mitandao ya kijamii zilizagaa taarifa kwamba wawili hao wamerudia na wako karibu zaidi.


Shilole alidai kwa sasa yeye na Nuh ni washikaji na kuna baadhi ya show wanaandaa pamoja ndio maana kuna wakati wanaonekana wako pamoja.


“Mimi na Nuh sasa hivi ni washikaji, hatuwezi kugombana kama zamani, mimi na Nuh tumesaidiana vitu vingi sana kwa hiyo bado kunaushikaji fulani. Pia sisi ni wasanii, mkituona pamoja mjue kuna kazi zinaendelea, mnajua Nuh ana mke kwahiyo hayo mambo sio ya kweli, kwanza navunjaje ndoa yao?,” alisema Shilole.


Katika hatua nyingine muingaji huyo amewataka mashabiki wa muziki wake kukaa mkao wa kula kwajili ya kazi mpya.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad