AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa Marekani, Donald Trump amesema anaamini kuwa Rais Mstaafu wa Nchi hiyo, Barack Obama ndiye anahusika na maandamano dhidi ya uongozi wa Republican
“Nafikiri Rais Obama anahusika kwa sababu ni watu wake wanaohusika kwenye maandamano hayo,” Trump alikiambia kituo cha Fox News.
Trump hakutoa ushahidi wowote kwa madai yake, waati huo Rais Obama bado hajajibu lolote kuhusu tuhuma hizo.
Trump pia alizungumzia bajeti na masuala mengine huku akieleza kuwa, amepanga kuongeza bajeti kwa ajili ya Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK