AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya vifo vya Askari Polisi 8 waliouawa kwa kushambuliwa na watu wenye silaha tarehe 13 Aprili, 2017 katika eneo la Jaribu Mpakani, Wilaya ya Kibiti Mkoani Pwani.
Jana Mbunge wa Kigoma mjini, Zitto Kabwe kupitia akaunti yake ya Twitter amesema haya juu ya Polisi 8 waliouawa
Mkuranga, Kibiti na Rufiji ( #MKIRU ) ni eneo ambalo lazima kazi kubwa ya ujasusi wa kiusalama ifanyike. @mwigulunchemba1 simamia hili haswa
Nimetazama magazeti makuu Leo, English and Swahili, naona uzito wa usalama wa eneo la #MKIRU unakuwa mdogo. Makosa makubwa @mwigulunchemba1
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK