Aliyezaa na Young D Amfungukia Amber Lulu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


BAADA ya picha za msanii wa Bongo Fleva, David Genz ‘Young D’ na Amber Lulu wakiwa kimahaba kusambaa mitandaoni huku habari zikieleza kuwa wawili hao wanapika na kupakua, aliyezaa na mwanamuziki huyo, Mamisa Amir, amefunguka kuwa haoni jipya.

Akipiga stori na Risasi Jumamosi, Mamisa alisema picha na habari za baba mtoto wake huyo, anaona ni jambo la kawaida, kwani asipojiheshimu mwenyewe hakuna atakayemheshimu.

“Hizo habari na picha naona kawaida tu maana mtu asipojiheshimu mwenyewe hakuna atakayemheshimu, niko kwa kina Young D tunalea tu mtoto lakini uhusiano wa kimapenzi ulishaisha,” alisema.

Alipotafutwa Amber Lulu kujibu inakuwaje anajiachia kimahaba na msanii huyo angali akijua ana mtoto na mwanamke mwingine, alisikiliza kabla ya kucheka na kukata simu huku ile ya Young D ikiita bila kupokelewa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad