Dogo Aslay Afunguka Sababu za Kukimbia Nyumba Aliyokuwa Anaishi na Kundi la Ya Moto Band..!!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Aslay amefunguka sababu iliyomfanya aondoke kwenye nyumba ya kituo cha Mkubwa na Wanawe,ambapo alipokuwa anaishi Waimbaji wenzake.

Hitmaker huyo wa ‘Angekuona’, amekiambia kipindi cha ‘On The Eight’ cha TVE kuwa hakuna matatizo yoyote yaliyomsababisha kuondoka katika kituo hicho bali aliamua kuifuata familia yake ili aweze kuishi nayo kwa ukaribu, tofauti na watu wengi wanavyofikiria.

Muimbaji huyo ameongeza kuwa zamani alijisahau zaidi katika muziki, lakini kwa sasa amepanga kujibrand yeye mwenyewe na kuachia nyimbo zake mwenyewe ambazo zitamtambulisha zaidi.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad