Fahamu Maajabu Sita ya Limao Ambayo Yatakushangaza..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Limao ni moja ya tunda ambalo linafahamika sana, ni tunda ambalo mara nyingi hutumika zaidi jikoni kwa ajili ya kukata shombo fulani fulani ya baadhi ya mboga mfano samaki.

Kwa kawaida limao huwa na ladha ya uchachu, lakini pamoja na kuwa na ladha hiyo tunda hili limekuwa na faida pia za kiafya.

Yafuatayo ni miongoni mwa matatizo 6 ambayo huweza kudhibitiwa na limao:-

1. Husaidia kuimarisha mfumo wa umeng'enyaji wa chakula

2. Husaidia kupunguza sumu mwilini

3. Hutumika kama njia ya kupunguza uzito

4. Husaidia kupunguza hatari ya mawe kwenye figo

5. Husaidia kuimarisha afya ya ngozi

6. Hupunguza maumivu ya viungo vya mwili hasa joint
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad