FAHAMU Mambo 6 Yamsingi Yatakayokufanya Uwe na Afya Njema..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Wengi wamekuwa wakituuliza mtindo bora wa maisha ni upi? Jibu ni kwamba mtindo bora wa maisha ni kuishi kwa kuzingatia kanuni za afya. 


Kimsingi mtindo bora wa maisha unahusisha haya yafuatayo:-


1. Kuzingatia ulaji bora 


2. Kufanya mazoezi ya mwili 


3. Kuepuka matumizi ya pombe 


4. Kuepuka matumizi ya sigara au bidhaa zitokanazo na tumbaku na madawa ya kulevya 


5. Kuepuka msongo wa mawazo

6. Kuzingatia kunywa maji yakutosha
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad