AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amesema amedhamiria kununu treni ya umeme baada ya Rais John Magufuli kuonyesha dhamira ya kujenga reli ya kisasa(standard gauge).
Gwajima ameyasema hayo jana katika ibada ya Jumapili huku akimsifu Rais Magufuli kwa kuchukua hatua hiyo.
Alisema licha yeye ni mchungaji wa Taifa na anaamini ipo siku Dar es Salaam yote itakwenda kanisani kwake kusali.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
gwajima ..!!! Hii ni ndoto au ndiyo mwanzo wa kupoteza Network??!!!... INATISHA....!!!
ReplyDeleteGwajima ..!!! Hii ni ndoto au ndiyo mwanzo wa kupoteza Network....!!!??? INATISHA....!!!
ReplyDeleteGwajima ..!!! Hii ni ndoto au ndiyo mwanzo wa kupoteza Network....!!!??? INATISHA....!!!
ReplyDelete