AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Serikali nchini India yaizuia mitandao ya Twitter, Facebook na WhatsApp katika jimbo la Kashmir kwa muda wa mwezi 1 ili kurejesha hali ya usalama.
Hii ni kutokana na vurugu zilizozuka baada ya watu 8 kuuwawa na polisi ktk maandamano yaliyotokea wakati wa uchaguzi mdogo wa jimbo la Kashmir.
Kufuatia sekeseke hilo, inadaiwa wapinzani wa serikali walitumia fursa hiyo kusambaza kwa wingi picha kali zinazoonyesha wahanga na watu walioumizwa vibaya kwenye vurugu hizo, hivyo kuchochea vurugu zaidi.
Mitandao mingine iliyozuiliwa pia ni pamoja na Youtube, Skype, Snapchat, LinkedIn n.k.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK