Hizi Hapa Mbinu Chafu Watekaji Wanayotumia Kukunyamazisha..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Hapa nazungumzia hawa watekaji wa Tanzania. Hii sio story za movie au kutunga.

Utekaji Tanzania haujaanza leo. Kuna awamu ya Rais Flani hapa Tanzania, wapinzani walitekwa sana. Sema sasa Mambo ya kidigitali yanasaidia kusambaza habari haraka sana. Kuna watu walikuwa madiwani/ wabunge ( siwataji) walifanyiwa mbinu hii na wapo kimya mpaka leo.

Hapa naongekea utekaji wenye malengo machafu ya kisiasa. 

Hawa watekaji wana mbinu chafu sana ya kumyamazisha mtekwaji kiasi kuwa hata wakimuachia huru, hawezi ongea yaliyomtokea na yote aliyofanyiwa.

Kwa kifupi ni kuwa, Hawa jamaa wanatabia za kuwaingilia kinyume cha maumbile watekwaji huku wanawapiga picha au wana warecord video. Pale wanapoamua kukuachia huru, wanakupa mashariti moja wapo ni la kukaa kimya. Endapo utakiuka mashariti, wanasambaza picha au video zinazoonyesha jinsi walivyokuwa wakikuingilia kunyume na maumbile.

Sasa wale mnao mtupia matusi Roma katika kipindi hiki kigumu anachopitia mjaribu kuangalia na upande wa pili. Hamjui kapewa mashariti gani mpaka anakuwa mgumu kueleza yote yaliyomkuta. Hawa jamaa wanamateso ni hatare. Usiombe yakukute siku moja. 

Wapo ambao waliharibiwa kisaikolojia kabisa kwa hii mbinu maana dah... hebu assume kesho mnakutana na kivideo clip mtandaoni Roma anafanyiwa vya sodoma. Yan hii ni mbaya sana. Hta mimi nakaa kumya milele.

Kwa mfano assume wewe ni msanii, umeandaa bonge ya li-single la kuichana serikal. Dena watekaji wanakudaka alafu wanakufanya yao. Na wanakuambia, ukijaribu kuichana tu serkal, wao wanareleaze your anal sex tape. Unadhani unaweza jarbu kwenda kinyume cha mashart yao?????
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad