AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Chama cha Wamiliki wa Mabasi nchini (TABOA) kwa kushirikiana na Chama cha Wasafirishaji Mkoa wa Dar es Salaam kimetangaza mgomo wa usafirishaji abiria na mizigo nchi nzima ili kushinikiza Serikali kutopitisha sheria ya usafirishaji inayotarajiwa kupitishwa siku ya Jumanne.
Mgomo huo utaanza leo Jumatatu.
Uamuzi huo umefikiwa katika Mkutano Mkuu Maalum wa TABOA ambapo Katibu Mkuu, Eneo Mrutu amesema sheria hiyo mpya inayotarajiwa kupitishwa haikuwashirikisha wadau na haitenganishi makosa ya dereva na mmiliki wa chombo cha usafirishaji na kupelekea mmiliki kufungwa jela.
Mrutu amewataka wabunge bila kujali itikadi zao kutopitisha sheria hiyo hadi itakapobadilishwa na kushirikisha wadau kwakuwa inalenga kuharibu sekta ya usafirishaji nchini.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK