Imefichuka...Hii Ndio Sababu Kubwa ya Mgomo wa Mabasi ya Kwenda Mikoni ..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Chama cha Wamiliki wa Mabasi nchini (TABOA) kwa kushirikiana na Chama cha Wasafirishaji Mkoa wa Dar es Salaam kimetangaza mgomo wa usafirishaji abiria na mizigo nchi nzima ili kushinikiza Serikali kutopitisha sheria ya usafirishaji inayotarajiwa kupitishwa siku ya Jumanne.

Mgomo huo utaanza leo Jumatatu.

Uamuzi huo umefikiwa katika Mkutano Mkuu Maalum wa TABOA  ambapo Katibu Mkuu, Eneo Mrutu amesema sheria hiyo mpya inayotarajiwa kupitishwa haikuwashirikisha wadau na haitenganishi makosa ya dereva na mmiliki wa chombo cha usafirishaji na kupelekea mmiliki kufungwa jela.

Mrutu amewataka wabunge bila kujali itikadi zao kutopitisha sheria hiyo hadi itakapobadilishwa na kushirikisha wadau kwakuwa inalenga kuharibu sekta ya usafirishaji nchini.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad