Lugumi Aitafuna Serikali ya Magufuli..Apiga Bilioni 41 na Kutokomea Nazo Bila Kufanya Kazi..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Huu wa safari hii ulisainiwa Idara ya Uhamiaji wa kufunga 'E imigration System'

Aliwasilisha mikataba miwili ya kazi moja kwa bei tofauti. Mmoja TZS bil. 37.1 na mwingine wa TZS Bil. 39.5. Hata hivyo wakati wa utekelezaji jumla ya kiasi cha TZS Bil. 41.5 kililipwa.

Wajumbe 2 wa kamati ya tathmini waligoma kusaini.

Vituo 36 kati 152 havikufungwa mfumo huo kinyume na mkataba

Baadhi ya vifaa vilikuwa vya gharama ya juu zaidi ya bei ya soko kwa zaidi ya TZS Bil. 5.964


Pakua mzigo mzima hapa (Ripoti ipo katika Lugha ya Kiswahili)
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad