AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Marubani wanaotumia ndege za kivita za Marekani F-35 stealth fighter watakuwa wakitumia helmet ghali zani duniani.
Kupitia helmet hii, rubani ataona kila kitu cha dunia kinachoonwa na camera za ndege.
Bei ya helmet moja ni dola za Marekani 400,000 sawasawa na milioni 900 za Kitanzania.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK