MTANZANIA Ashika Nafasi ya Tano Mbio za Nyika Uingereza..Akomba Mamilioni ya Pesa..

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Wakati Mkenya Daniel Wanjiru ameshinda mbio za London Marathon, Mtanzania Alphonce Simbu ameshika nafasi ya tano.

Wanjiru aria wa Kenya ameshinda kwa muda wa saa 2, dakika 5 na sekunde 48 na Simbu ametumia saa 2, dakika 9 na sekunde 9 na kushika nafasi hiyo ya tano.

Inaonyesha anayeshika nafasi ya tano katika mashindano hayo anaibuka na kitita cha dola 10,000 (zaidi ya Sh milioni 22).

Hata hivyo, Simbu ambaye alianza vibaya alilazimika kubadili gia mwishoni na kuwashinda zaidi ya Wakenya sita na Waethiopia wawili, Mganda mmoja ili kushika nafasi hiyo ya tano.

Nafasi ya pili imekwenda kwa Kenenisa Bekele wa Ethiopia ambaye mwishoni alichuana vikali na Wanjiru aliyeonekana kuwa katika kiwango bora.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Akazane tu zaidi labda siku moja tutapata dhahabu. Hongera ;-) B-)

    ReplyDelete

Top Post Ad