Sakata la Point Tatu Walizopewa Simba Bado Kizungumkuti..Tff Washindwa Kutoa Jibu...!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Sakata la pointi tatu ambazo Simba SC ilipewa na Kamati ya Saa 72 kutokana na kile kinachodaiwa Kagera Sugar ilichezesha mchezaji Mohamed Fakhi akiwa na kadi za njano tatu kinyume na sheria za ligi kuu msimu 2016/17 limechukua sura nyingine baada ya Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania kusema bado ushahidi haujakamilika ipasavyo hivyo.

Akitangaza mbele ya waandishi wa habari Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Selestine Mwesigwa amesema kikao cha jana kilikuwa maalumu kwa ajili ya kumaliza kazi ilianzwa na Kamati ya Saa 72 na sio kuiharibu maamuzi yake ambayo ilitoa.

“Mashahidi wengi hawajaweza kufika hivyo lazima usubiri mpaka waletwe ili kukamilisha kazi. Pia nyaraka muhimu haziletwa. Kamati ya Saa 72 haina nguvu ya kustafiri sheria hivyo kinachofanyika sisi (Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji) tunamalizia ilipoishia,” alisema Mwesigwa.

Mwesigwa ameongeza kuwa ni lazima kuliweka suala hili vizuri kwa maslahi ya siku za usoni hivyo wakienda nalo kwa pupa litakuwa na athari katika siku zijazo katika soka la Tanzania.

Kikao hicho kimeahirishwa hadi leo Aprili 19 mwaka huu.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad