Sitosahau Nilipotumia Mafuta ya Korosho Kukuzia Maungo ya Kiume

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Maneno ya vijiweni na mtaani yana athari sana kisaikolojia.

Nakumbuka baada ya kuingia advance ndipo nilipoanza kujihusisha na ngono huku nikisikia maneno ya wadada wa mitaani na mitandaoni wanavyopendezwa na large penis ikumbukwe kipindi hicho nilikua nimekanunua katecno kangu ndo nilikua naanza kuingia mitandaoni hasa facebook, blogs mbalimbali n.k hivyo kelele za mitandaoni zili influence hulka ya kuongeza ukubwa wa dushe.

Pasipo kujua kibamia ni kipi na mhogo ni saizi gani ikabidi fikra zinitume moja kwa moja kuna haja ya kuongeza ukubwa wa uume wangu ili kuwaridhisha wadada wa rika tofauti tofauti. Nilianza na dawa za kimasai nakumbuka nilinunua 8000 nilitumia bila mafanikio yoyote. Nikanywa sana maji ya mizizi ya mpapai lakini wapi.

Ila siku moja wazo likanijia kwamba wakati tukiwa watoto tulikua tunatumia mafuta ya korosho kuchorea tatoo na ngonzi ilikua inaumuka na kukaa muda mrefu nikaona ngoja nijaribu inaweza ikafanikisha lengo la kuongeza unene.

Baada ya kujisugua na mafuta ya korosho kimbembe kikaanza baada ya saa moja nikaona ngozi inaumuka na inakua nyeusi seemu yote ya penis, ni kama mtu aliyemwagiwa mafuta ya moto, ngozi yote ikatoka kikabaki kidonda chekundu, hapa nikahisi nilichojaribu nimekipata na kuna uwezekano nikapoteza kila kitu.

Nilitumia dawa ya kukausha vidonda kwa wiki 2 na hatimae kidonda kikaanza kupona na kikapona kabisa, ila nilichomshukuru Mungu iliendelea ku erect kama kawaida maana nilikua naogopa uwezekano wa kuviua vimishipa vinavyohusika na sensitivity.

Nilipona kabisa ila ilibidi nikae muda mrefu bila ku sex coz umbile lilikua na ngozi nyekundu na mabaka mabaka, ikumbukwe yote haya yalifanyika bila mtu yoyote kujua ilikua ni kimya kimya.

Hua nikikumbuka hili tukio hua naishia kucheka tu.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad