AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Inadaiwa kuwa Shamsa alipata majeraha hayo baada ya kupigwa ngumi wakati anaamulia ugomvi wa mtumishi wake wa ndani ambaye alikuwa anazozana na mwanaume aliyemdhalilisha kwa kumshika mwili wake bila ridhaa yake.
Ili kujua undani wa tukio hilo, Soudy alipiga story na Shamsa ambaye alisema: >>>“House girl wangu alichokozwa na mwanaume, so wakawa wanagombana, nikaenda kuamulia basi, ngumi ikanipata. Nilipelekwa hospitali na mume wangu.” – Shamsa Ford.
Bonyeza Play hapa chini kusikiliza Full Story…
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK