Ubuyu wa Motomoto..Flavina Matata Aingia katika Kumi na Nane za Wiz Khalifa..Wapiga Mapicha Haya ya Kikubwa Kubwa ..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwanamitindo wa Tanzania, kupitia ukurasa wake wa Twitter, ametupia picha na video mbalimbali akiwa na mastaa wa Marekani.

Flaviana Matata ambaye amekuwa akifanya kazi zake nyingi nje ya Tanzania, aliweka picha akiwa na mwanamuziki Wiz Khalifa wa Marekani kisha kuandika: “It has been a fun weekend, more on my Snapchat and IG stories”

Aidha, Flaviana pia aliweka picha akiwa na staa wmingine wa R&B na Pop wa Marekani, Keri Hilson kisha akaweka video akidansi huku pembeni yake akiwepo Rihanna na kueleza jinsi ambavyo anavyomkubali mwanamuziki huyo ambaye licha ya kuwa ni staa lakini aliamua kujichanganya na watu wa kawaida kwenye tamasha fulani ambalo hakifafanua.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad