AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bill Nass amewataka Roma na wenzie kuendelea na maisha kwa kufanya kazi ingawa hawatokuwa vizuri lakini kwa sababu wana uhai na uzima katika maisha yao wanapaswa kumshukuru Mungu.
”Wanapaswa kumshukuru Mungu kwa kuwa wako hai. Wendelee kufanya kazi kwa moyo, japo unapokuwa na pressure huwezi kufanya. Kwa mfano, mimi tu nikiwa hivyo mood za studio zinakata. Japo wao wanaweza kuwa zaidi ya hapo, ila hizo ni changamoto tu, so, isiwafanye wakaishia hapo as long as wako hai na wazima.” – Billnass.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK