BlackBerry Yarudi Upya na Simu Itakayofunika Asilimia Kubwa ya Simu Zilizopo Sokoni..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ng'ombe hazeeki maini. Kampuni ya BlackBerry inatarajia kurudi tena sokoni kwa kuzindua Smartphone yake ya BlackBerry Keyone ambayo itakuwa na vitufe vya QWERTY na itatumia mfumo wezeshi (Operating System) ya Android v 7.1 Nougat, ikiwa na 8MP kamera ya mbele yenye flash, kamera ya nyuma yenye 12MP auto-focus large pixel pamoja na Fingerprint Sensor. 

Simu hii pia itakuwa na injini yenye RAM ya 3GB na internal memory ya 32 GB lakini itakuruhusu kuweka memory card yenye ukubwa wa hadi Terabyte 2
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad