AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Chama Cha ACT- Wazalendo kimemtangaza rasmi Mwanasheria Albert Msando kuwa mrithi wa Nafasi ya Mshauri Mkuu wa Chama hicho iliyoachwa awazi na Prof Kitila Mkumbo aliyeteuliwa na Rais Magufuli kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Maji
Kwa Mujibu wa Katibu Mkuu wa Chama hicho Doroth Semu, Utuezi huo umeanza Mara tangu Mei 8, 2017.
Kabla ya uteuzi huo ndani ya Chama hcho Msando alikuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Katiba na Sheria.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK