MUONEKANO Mpya wa Idris Sultan Baada ya Kupaka Ndevu zake Rangi (Picha)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Idris Sultan amebadilisha muonekano wake wa sura, muigizaji huyo sasa amepaka ndevu zake rangi ya hudurungi.

Hapo awali Idris hakuwa na mashurubu, alikua anakaa kijana chipukizi bila kuwa na nyweli kwenye mashavu.

Kwa sasa Idris ameamua kupaka ndevu zake rangi, anadai kuwa aliamua kubadilisha muonekano wake wa sura kwasababu alitaka kufanana na Lionel Messi – mshambuliaji wa timu ya Barcelona.



----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad