Familia yakanusha, “Aliyelazwa Muhimbili siye aliyechora Nembo ya Taifa”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Ikiwa ni siku chache tangu taarifa ya mzee ambaye alidaiwa kubuni na kuchora Nembo ya Taifa kuripotiwa na Serikali kuamua kumpatia msaada wa matibabu, familia moja imeibuka na kudai mzee huyo anayetajwa kuhusika kubuni siyo, bali ni mzee wao na ameshafariki.

Serikali kupitia Wizara ya Afya iliamua kumsaidia kimatibabu mzee Francis Maige maarufu kama ‘Ngosha’ ambaye alilazwa Hospitali ya Amana na kuamua kumhamishia Hospitali ya Taifa Muhimbili ambapo baada ya tukio hilo familia nyingine imeibuka na kudai kuwa mzee wao ambaye sasa ni marehemu ndiye mchoraji wa Nembo hiyo.

familia hiyo ambayo imeamua kufunguka na kuelezea kila kitu ukiwepo ushahidi wa mzee wao kuchora Nembo hiyo.

“Ushahidi ambao tunao ni wale watu wa rika lake ndiyo walikuwa wanashuhudia kwamba yeye ndiye aliyechora.” – Yehoshaphat Jeremiah Kabati (Mtoto wa tatu wa anayedaiwa kuchora Nembo ya Taifa)
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad