AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Gigy alifikia hatua ya kumtolea maneno hayo Lulu kutokana na kauli yake aliyowahi kusema kwamba hataki kufananishwa naye kwa kuwa siyo levo yake kwa sababu hivi sasa ni mwanamuziki siyo video queen tena. Maneono ya Lulu yalimkera Gigy ambaye ameamua kumjibu kwa kumwambia kuwa anamtambua kama baamedi kwani hiyo ndiyo ilikuwa kazi yake hivyo anajiona yupo juu kwa kuwa alizoea kufunua visoda.
Baada ya Gigy kutoa maneno hayo, Risasi Jumamosi lilimtafuta Lulu ambaye baada ya kuelezwa alijibu kwa ufupi; “Acha aongee maana huwezi kumkataza binadamu kuongea kwa sasa siwezi kujibizana na mtu wa aina hiyo anayetafuta kiki.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK