HIMID Mao Akwea Pipa Kwenda Denmark kwa Majaribio Katika Klabu ya Randers FC..!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mchezaji wa klabu ya Azam FC na Taifa Stars, Kiungo Himid Mao amekwea pipa jana jioni akielekea nchini Denmark, kwa ajili ya majaribio ya kutafuta kucheza soka la kulipwa katika bara la Ulaya.

Kiungo huyo machachari anakwenda kufanya majaribio yake ya soka la kulipwa katika klabu ya Randers FC ambayo iko katika ligi kuu nchini Denmark maarufu kwa jina la Superliga.

Mao amekuwa katika kiwango cha juu katika ligi ya msimu huu pamoja na michuano mingine ambayo kiungo huyo amekua akicheza.

Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Saad Kawemba, amethibitisha kuondoka kwa mchezaji huyo akisema, “Tuna wachezaji zaidi ya sita wameenda ulaya kwa majaribio, na Mao ni mmoja wao. Taarifa zingine tutatoa kama klabu ila Mao ana baraka zote za klabu kuondoka. 

Amepata nafasi ya kuondoka, na hakuna atakaemzuia, wote wataondoka na kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu wote tunaamini watafanikiwa na wataweza kuanza maisha mapya katika nchi moja wapo,”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad