AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mishale ya saa mbili na nusu za Tanzania, Serengeti Boys itashuka dimbani kupepetana na Niger kuhitimisha safari ya makundi huku ikihitaji ushindi ama sare ya aina yoyote kusonga mbele hatua ya nusu fainali.
Huku Tanzania ikihitimisha na Niger, Mali atahitimisha na Angola. Mpaka sasa Ghana ndio timu pekee ambayo goli lake halijatikishwa huku ikipachika wavuni mabao tisa, ni timu iliyo gumzo zaidi nchini Gabon. Aheri kukutana na Ghana fainali kupitia mgongo wa Guinea.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK