JIBU Alilotoa Ray C Kuhusu Kuwa na Uhusiano wa Kimapenzi na Mbunge

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kuna uvumi nyingi kuhusu Ray C, mwimbaji huyo amesemwa mara mingi kwasababu amehushishwa na kashafa kadhaa wa kadhaa.

Hivi karibu kumekuwa na ubuyu kuwa mrembo huyo alijiingiza katika uhusiano wa kimapenzi na mbunge ambaye ameoa.

Ray C hata hivyo amekana uvumi huo, amedai kuwa hajawai kujihusisha katika uhusiano wa kimapenzi na mheshimiwa yeyota licha ya kufahamiana na wabunge mbalimbali.

“Kwanza kwa sasa mambo ya mapenzi nimeyaweka kando, niko bize na muziki wangu, akili na hisia zangu zote nimezielekezea kwenye kazi. Muziki ndiyo kila kitu kwangu,” alisema Ray C.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad