KAMA Wewe ni Mzazi Ujumbe Huu wa Ray C Lazima Ukutoe Machozi..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa muziki wa Bongo Fleva,Ray C ametumia vizuri siku ya jana ya akina Mama Duniani kwa kuwakumbuka Wazazi wa watoto watatu walionusurika kwenye ajali ya Gari huko Karatu mkoani Arusha kwa kuwapa ujumbe wa faraja wenye maneno ya kutia Moyo.

Ray C amesema Mungu yupo mbele ya watoto hao na kwavile wameondoka wakiwa wanahema basi watarudi wakiwa wanahema na wenye Afya.

“Mtapona kwa nguvu ya Mungu kupitia madaktari….na mtarudi salama…Ya Mungu ni mengi na tayari kashawaonyesha kupitia mliyopitia na bado mnahema“Ameandika Ray C .

Ray C pia aliwapa moyo akina mama wa watoto hao watatu ukizingatia jana ni siku ya Akina Mama duniani kwa kusema waendelee kuomba na kumuamini Mungu kwani yeye ndiye ngao pekee iliyobakia kwenye maisha yao.

“Happy Mother’s day kwa wamama wote Wa hawa watoto,Mungu azidi kuwaonyesha uwepo wake kwenu muda wote na mzidi kumuamini kuwa yeye ndio ngao ya Maisha yenu“Ameandika Ray C kwenye ukurasa wake wa Instagram.

Wazazi wa watoto hao watatu majeruhi wa ajali ya Basi ya Karatu iliyoua watu 35, wameondoka jana asubuhi hapa nchini kuelekea nchini Marekani kwa ajili ya Matibabu zaidi .
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad