ALICHOKISEMA Zitto Kabwe Kuhusu Bei ya Sembe Kuwa Juu Mara Dufu..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mbunge wa Kigoma mjini kupitia tiketi ya ACT Wazalendo Mhe. Zitto Kabwe amefunguka na kusema kuwa bei ya unga wa ugali kwa sasa ipo juu kuliko hata bei ya mafuta ya magari jambo ambalo linafanya wananchi kuumia zaidi na ugumu wa maisha.

Zito Kabwe amesema kwa sasa Bei ya Unga wa Sembe 1kg ni  Shilingi 2,300/= huku Mafuta ya Petroli lita moja ikiuzwa kwa Shilingi 2,060/= huku akishangaa kuwa ni mara yake ya kwanza kuona Ugali umekuwa ghali kuliko mafuta ya gari.

“Bei ya Unga wa Sembe 1kg TZS 2,300/= ( wastani ). Bei ya Mafuta ya Petroli 1lita TZS 2,060/= ( wastani). Kwa mara ya kwanza Ugali umekuwa ghali kuliko mafuta ya gari“Ameandika Zitto Kabwe kwenye ukurasa wake wa Facebook huku akiendelea kuhoji ukimya wa Serikali juu ya mfumko huo wa Bei

“Gharama hizi za maisha Kwa wananchi ni kubwa mno, hazistahmiliki na zinaingiza raia wengi kwenye umasikini. Serikali ipo kimya kana kwamba kila kitu kipo sawa“Ameandika Zitto Kabwe.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad