AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Kama serikali ya Jamaika ingepiga marufuku wasanii wa nchini kwao wasiimbe nyimbo za siasa, basi siku kama ya leo tusingeshuhudia dunia ikiungana kuadhimisha kumbukumbu ya kifo cha kaka yetu mkuu Robert Nesta Marley...Baba Ziggy". Alisema Afande Sele kupitia ukurasa wake wa kijamii instagram
Aidha, Afande Sele aliendelea kusema kuwa
"Heshima na umaarufu wake havikujengwa kwa tungo za mapenzi, kujisifia na blah blah nyingine bali kwa siasa ambayo ndiyo maisha yenyewe.. Nami kwa kumuenzi huyu Nabii wangu siku kama leo natamani kuropoka kwa sauti kuu kwamba 'Ni marufuku kupiga marufuku". Alisisitizia Afande Sele
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK