LEMA Afunguka ya Moyoni Baada ya Nyalandu Kujihusisha na Ajali ya Wafunzi wa Shule ya Luck Vicent..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mbunge wa Arusha Mjini Mh. Goodbless Lema amemshukuru Mbunge Lazaro Nyalandu kwa kufanikisha safari ya Marekani ya watoto watatu ambao walinusurika kifo katika ajali ya basi la shule ya Lucky Vicent iliyotokea Karatu na kusababisha vifo vya watu 35.

Mh. Nyalandu alikuwa bega kwa bega na kufuatilia kila hatua kuhakikisha watoto hao pamoja na wazazi wao na daktari wanasafiri kwenda nchini Marekani kwa ajili ya kupata matibabu zaidi. 

"Mh Lazaro Nyalando , Mungu akubariki sana kwa kazi nzuri ya kusaidia watoto waliopatwa na ajali hapa Arusha, jitihada zako Mungu atakulipa" alisema Godbless Lema 
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad