AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu amesema kuwa msimamo wake wa kupinga kitendo cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli cha kuzuia mchanga wa dhahabu kusafirishwa nje uko pale pale.
Ameyasema hayo bungeni mjini Dodoma, ambapo amesema kuwa kuzuia mchanga huo wa dhahabu kusafirishwa kwenda nchi za nje kutaathiri uchumi kwani atakuwa ameenda kinyume na mikataba ya kimataifa.
“Rais Dkt. Magufuli amefanya kitendo ambacho ni kinyume na mikataba ya kimataifa, kwa hiyo hapa tutegemee hasara kubwa na kutengwa na jumuiya ya kimataifa,”amesema Lissu
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hakuna wa kumshangaa 'tundulisu' kwani ni hao-hao akina 'tundulisu' walomwita Lowasa fisadi, na ni hao-hao walomsifia Lowasa na kumpigia debe 'eti' awe Raisi wa TZ!! sasa hapo cha-ajabu nini kwa huyo 'tundulisu' hahahaha anataka uwakili apate kuwatetea wezi wenzake.....mtumzimahovyo
ReplyDelete