LITA 50,000 za Mkojo Zatumika Kutengeneza Pombe..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kiwanda kimoja cha pombe nchini Denmak kimetengeneza bia mpya kwa kuchanganya ngano na lita 50,000 za mkojo.

Hata hivyo bia hiyo haitakuwa na mkojo wa binadamu.

Mkojo huo ulikusanywa  kwa watu waliokuwa kwenye  hafla moja kubwa zaidi ya muziki barani ulaya miaka miwili iliyopita

"Wakati habari ziliposambaa kuwa tulikuwa tumeanza kutengeneza pombe, watu walidhani kuwa tulikuwa tukiweka mkojo huo moja kwa moja  kwenye pombe," alisema Mkurugenzi wa kampuni ya Norrebro Bryghus inayotengeneza pombe hizo.

“Kama ingekuwa na ladha ya mkojo ningeachana nayo, lakini hata huwezi ukahisi," alisema mtu moja ambaye alihudhuria warsha hiyo ya muziki mwaka 2015.

Lita hizo 50,000 zilizokusanywa kutoka kwa warsha hiyo ya muziki zilitosha kuunda chupa 60,000 za bia.

Mashine iliyotengenezwa na kundi la wanasayansi katika chuo kimoja nchini Ubelgiji, inabadili mkojo wa binadamu na kuwa maji ya kunywa pamoja   kwa kutumia nguvu za miale ya jua.

 Chanzo BBC.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad