MAMBO 6 Ambayo Ukiyafanya Kamwe Hutapata Ugonjwa wa Kuhara..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kuharisha ni ugonjwa ambao husababishwa na vimelea (bacteria) ambao huenezwa na hali ya uchafu (inzi). kwa hiyo kama  kama utafanya yafutayo basi huwezi pata tatizo hilo.

1. Kuzingatia usafi wa choo

2. Kunawa mikono kila baada ya kutoka chooni

3. Kuosha vyombo vizuri na kuvihifadhi sehemu safi

4. Kuosha matunda kabla ya kula

5. Kunywa maji safi na salama (yaliyochemshwa)

6. Kunawa mikono kila unapohitaji kula chochote
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad