MSIDANGANYIKE Zimbabwe ni Tajiri wa Pili Afrika Nzima -Robert Mugabe Ajigamba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amesema kuwa nchi yake ya Zimbabwe ndio taifa lililoendelea zaidi katika bara Afrika baada ya Afrika kusini.

‘Tuna takriban vyuo vikuu 14 na asilimia 90 ya watu wamekwenda shule, ikiwa ni kiwango kikubwa zaidi barani Afrika’ huku akiongezea kwamba uchumi wao unaendelea kuimarika.

Hata hivyo Rais Mugabe amekana madai kwamba taifa hilo lina hali tete.

Zimbabwe imekuwa ikishindwa kuwalipa wafanyikazi wa serikali na huku ikiwekwa katika nafasi ya 24 kulingana na ripoti ya shirika la umoja wa mataifa UNDP, ya maendeleo barani Afrika.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad