MWAKYEMBE Apiga Marufuku Tv na Redio Nchini Kusoma Magazeti..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe amepiga marufuku Runinga na Redio kusoma habari nzima katika magazeti huku akivitaka kusoma vichwa vya habari tu.

Dkt. Mwakyembe ametoa agizo hilo, jijini Mwanza ambapo amesema kutekelezwa kwake kunaanza kesho (Alhamisi) tarehe 04/05. Leo ikiwa ni siku ya uhuru wa vyombo vya habari duniani, Mwakyembe amesema ataendelea kutetea na kulinda haki za waandishi wa habari huku akiwahakikishia ulinzi katika kazi zao.

Mwakyembe amesema amepiga marufuku kusomwa kwa magazeti kwenye runinga na redio, ili magazeti yaweze kuuzwa kwani punde habari yote inaposomwa kwenye chombo cha habari na watu wakasikiliza maeneo yote, hakuna mtu atakayenunua gazeti hilo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad