Mwigulu: Tumewabaini Wanaofanya Mauaji Kibiti..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi, Mwigulu Nchemba amesisitiza kuwa changamoto ya mauji ya watu mkoani Pwani iko mbioni kutatuliwa kwa kuwa serikali imeshabaini wanaofanya mauaji hayo ni watu wanaotoka kwenye maeneo ya Kitibi, Mkuranga na Rufiji.

Mwigulu aliyasema hayo leo Bungeni mjini Dodoma wakati akitoa maelezo juu ya matukio yanayoendelea mkoa wa Pwani.

Alisema kuwa kamata kamata itaendelea katika wilaya za Kibiti, Mkuranga na Rufiji hadi wahalifu wote watakapokamatwa na kufikishwa katika vyombo vya dola.

Awali Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini aliomba Bunge liahirishe shughuli zake ili kujadili hali ya amani katika maeneo hayo.

"Kwa sasa watu wanakamatwa hovyo na polisi katika maeneo hayo na mfano kijana Sultan Mpigi aliyekamatwa na polisi akiwa mzima lakini maiti yake ilikutwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili". Alisema Selasini.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad