AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri wa mambo ya ndani, Mwigulu Nchemba amesema serikali haiwezi kuvumilia mauaji ya mara kwa mara kama yanayotokea Somalia.
Akizungumza katika jiji cha Bungu, Kibiti ilipo kambi ya Polisi wanaotunza amani, na kuwataka polisi hao kusonga mbele katika mapambano ya kuwasaka wauaji.
Amesema wauaji na wanaoshirikiana nao wapo hapa hapa Kibiti na hivyo waziri huyo aliagizwa wote wakamatwe.
“Kibiti haiwezi kuwa kama Somalia hata siku moja. Wauaji wamejichanganya na raia wema na sasa tuwamulike hadi wapatikane,” amesema
Amesema umefika wakati tuondokane na dhana kuwa wauaji wamekimbilia mahali pasipojulikana ilhali wapo hapa hapa Kibiti
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK