RAILA Odinga Kumtumia Rais Magufuli Kwen ye Kampeni Zake za Urais Kenya ni Kosa Kubwa..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


hebu tujadili UBAYA na UZURI wa kumtumia Magufuli katika kampeni za jirani zetu Kenya.

Katika mkutano wao wa KUMUIDHINISHA rasmi mgombeaji wa upinzani wa ODM dhidi ya rais Kenyatta. Mh. Raila odinga alitumia video ya kushangaza sana iliyomwonyesha Rais wetu John Pombe Magufuli kama vile ANASAPOTI kampeni ya RAILAOdinga.

Mimi binafsi naona ni kama strategists wa NASA wamefanya MAKSUDI ili KUTUGOGANISHAU kati yetu na jirani zetu wazuri Kenya.
Urafiki wao wawili walipokuwa MAWAZIRI hauhusiani HATA KIDOGO na maswala ya USALAMA wa nchi yetu.

Nina maana Magufuli sasa is AN INTERNATIONAL FIGURE/Mtu wa KIMATAIFA. Hivyo kumweka kwenye VIDEO ya KUOMBA URAIS Kenya HAIMHUSU hata kidogo na NIKUTUCHONGANISHA!

Kwanza yeye ni Mwenyekiti wa EAC na haitajiki kuwa na upendeleo wowote. Kampuni za Kenya hapa Tanzania zimeajiri watu 50 elfu na zaidi.

Ni vizuri IKULU ama MSEMAJI wa serikali atoe KAULI rasmi, kuwa Tanzania haipendelei MGOMBEAJI yeyote yule nchini Kenya na maamuzi ya Wakenya ndo yatakubalika katika Jumuia ya Africa Mashariki.

Hii itatusaidia Raila Odinga ASIITUIINGIZE katika mizozano isiyo na tija kati yetu na Kenya maana HATUJUI nani atakuwa RAIS wa KENYA baada ya UCHAGUZI..
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad