Rais Kenyatta wa Kenya Akiwaombea Wanafunzi 33 wa Tanzania Waliofariki Jana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rais wa Jamhuri ya Kenya, Uhuru Kenya amewaongoza raia wa nchi hiyo jana katika kuomboleza vifo vya wanafunzi 33 vilivyotokea Wilayani Karatu, Mkoa wa Arusha nchini Tanzania.

Kenyatta ambaye ni mgombea wa kiti cha urais kwa tiketi ya muungano wa Jubilee, aliwaomba raia wa Kenya kusimama kwa dakika moja kuomboleza na kuwaombea wanafunzi 33, walimu 2 na dereva waliofariki katika ajali hiyo iliyotokea jana saa tatu asubuhi.

Rais Uhuru alitoa heshima hiyo alipokuwa katika moja ya mikutano yake ya hadhara nchini humo ambapo anatetea kiti cha urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Agosti mwaka huu.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad