Wabongo ni Kiboko Nimewavulia Kofia Instagram - Shamsa Ford

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa filamu bongo, Shamsa Ford amefunguka mapya kwa kudai laiti watu wangekuwa wanaitumia vizuri mitandao ya kijamii basi wangekuwa wamefika mbali kimaendeleo lakini wamebakia katika kutengenezea mambo ya uongo tu.

Shamsa amebainisha hayo kupitia ukurasa wake wa instagram baada ya kukerwa muda mrefu na watu wanaopenda kutumia mitandao ya kijamii kuanzisha mijadala ambayo haina ukweli wowote wala kuwa na taswira nzuri katika jamii.

"Nina imani hii mitandao tungeitumia vizuri tungekuwa na maendeleo makubwa,ila unavyotumika jamani ni kero. Sisi wabongo ni kiboko aise, wabongo wa instagram ni kiboko Wallah, mtu anaweza akatengeneza jambo likafanana na ukweli mpaka mwenyewe ukachoka. Wabongo tuna vipaji" aliandika Shamsa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad