AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Snoop Dogg ameushangaza ulimwengu kwa kuahidi albamu yake inayofuata itakuwa ya nyimbo za injili.
Akiongea katika kipindi cha The Pharmacy, rapper huyo amesema, “I’m working on a gospel album. It’s always been on my heart. I just never got around to it because I always be doing gangsta business or doing this or doing that. I just felt like it’s been on my heart too long. I need to do it now.”
Snoop amelitaja jina la albamu yake hiyo ya 16 itaitwa ‘Neva Left’.
April 17 ya mwaka jana msanii huyo alianza kuonyesha kuvutiwa na muziki huo baada ya kuandika katika mtandao wake wa Instagram, “Silver n gold. @dashradio Cadillac music Sunday gospel mix.”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kwani hur jamaa mbona kama niliona amekuwa muislam imekuwaje tena atengeneze nyimbo za injili
ReplyDelete