AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika ziara itakayomoeleka Donald Trump katika mataifa kadhaa matano kuanzia Saud Arabia mpaka Brussels, Jerusalem ikiwamo imeonekana kupokelewa kwa mtazamo tofauti ukilinganisha na msimamo wake juuya uislamu na namna Saud Arabia ilivyompa heshima ya hali ya juu hasa wengi wakiilinganisha na ziara ya Obama aliyoifanya mara ya mwisho akiwa madarakani.
Mambo yaliyoteka mijadala mitandaoni ni pamoja na
Heshima Trump anayoonekana kuipata kutoka kwa taifa la Saud Arabia kuanzia kwenye mapokezi ambayo Obama hakuwahi kuyapata.
Kitendo cha Trump kumuweka mwanamke kama translater wa mazungumzo yao na mtazamo wa Arab kuhusu uhusika wa wanawake katika masuala nyeti katika jamii.
Swala la Melanie Trump kutokuvaa head scarf kama ilivyozoeleka kwa Hillary Clinton, Condoleezza Rice na Michelle Obama pamoja na staff wao waliokua wakivaa head scarfs kuenzi utamaduni wa Arab
Msisimko wa mji wa Riadh katika ziara hii ya Donald Trump ambapo wananchi wa Saudia wameonekana kuvutiwa na kumpokea Mr President kwa upendo bila kujali misimamo ya Donald Trump kuhusu Uislamu ambayo ndio dini ya Saudis
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK