Ukweli Mchungu: Magufuli Hakuahidi Maisha Bora kwa Kila Mtanzania! Alisema, 'Hapa kazi tu'...!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Sioni kama kuna sababu legitimate ya mwananchi yeyote kulalamika kuwa maisha yamekuwa magumu zaidi tangu Magu ashike nchi...

Tofauti na Kikwete ambaye aliahidi maisha bora kwa kila Mtanzania na hayakupatikana mpaka anaondoka madarakani, Magufuli hakuahidi kitu kama hicho. Alichosisitza ni kuwa katika kipindi chake, watu watalazimika kufanya kazi zaidi ili wapate the same level of income compared to kipindi cha JK.

So ukweli mchungu ni kuwa, Msi mdrive Magu, kudeliver kitu ambacho hakuahidi kwenye kampeni zake. Aliahidi kuwa mtachapa kazi na kweli sasa hivi kila mtu anachapa kazi kwa bidiii haswa.
Ubora wa maisha au kutajirika haikuwa ahadi yake na hivyo, hawajibiki kwa hilo...

Chanzo Jf
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad