UKWELI Mchungu...Askari Hawapaswi Kutishia Watu Lakini Swali Maarufu la "Unajua Mimi Nani?'' Huwa Linanikera Sana..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Wakuu katika kuheshimu Mamlaka Viongozi na hasa Viongozi wastaafu wako nyuma sana mtu unamuuliza kwanini imefanya kitendo hiki hakikubaliki yeye anakimbilia Kusema "Unajua unaongea na Nani?'' Au "Unajua Mimi nani?'' 

Kwanini hutaki kujieleza kama Raia wa Tanzania unayefuata Sheria Ni vema Kufuata Utaratibu wa Kisheria kuna Askari wengine hata kiumri wadogo hata hawàjui Kua Lytonga Mrema alikuaga Waziri wa Mambo ya Ndani.

Suala la Parking linaongeleka Mimi mwenyewe huwa nakuta Lim/tairi limefungwa na Mnyororo lakini najishusha jamaa wanatoa mnyororo halafu maisha yanaendelea.

Nimechukulia Mfano wa Viral iliyoenea ikimuonesha Malima akitishiwa na Askari Katika Video ile Nimesikitishwa Kusikia hata Raia wa Pembeni wakishabikia Unajua unaongea na Nani huyo.

Kitendo hicho ni kumu intimidate askari asitimize wajibu wake unavyojitambulisha usihojiwe kama Mtanzania Unaeishi kwa Kufuata Sheria za Nchi.

Siungi Vitendo vya Matumizi ya Silaha ila watanzania tufuate Sheria ikiwa Pamoja na Kua cha tabia ya Kutishia unajua Unaongea na nani? Yaani hata Mimi hiyo kauli huwa inaniboa sana.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad