UPDATES : Yaliyojiri Siku ya Mei Mosi Mkoani Kilimanjaro..!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


=> Mwaka huu tutapandisha madaraja ya kazi pamoja na kuweka nyongeza ya mishahara kuwa sawa na madaraja yake

=> Tunakushukuru Mhe.Rais Magufuli kwa kutekeleza kwa vitendo suala la elimu bure nchini"-Said Meck Sadik

=> Nawashukuru wakazi wa Mkoa wa Kilimanjaro kwa mapokezi waliyonipa wakati nawasili"

=> "Siku ya Wafanyakazi Duniani ni siku muhimu kwa wafanyakazi kutafakari masuala yanayowahusu"

=> "Wafanyakazi ndio injini ya maendeleo katika taifa lolote duniani"-Rais Magufuli

=> "Serikali itaendelea kufanyia kazi changamoto zinazowakabili wafanyakazi"-Rais Magufuli

=> Nawahakikishia wafanyakazi kuwa tunaanza ukurasa mpya kwani serikali tumeamua kwenda mbele"-Rais Magufuli

=> Nawaarifu kuwa serikali inaendelea na utaratibu wa kuanzisha fao la Bima ya Ajira na wadau wameshatoa maoni"Rais Magufuli

=> Serikali inalishughulikia suala la ucheleweshaji wa mafao ili wafanyakazi wanapostaafu waache kuhangaika"-Rais Magufuli

=> Serikali italishughulikia swala la mfumoko wa bei ili kuondokana na ugumu wa maisha"- Rais John Magufuli

=> Vyama vya Wafanyakazi ni mahala pa kazi na sio hiari na visigeuzwe sehemu ya migogoro"-Rais Magufuli

=> "Waajiri wote wanatakiwa watoe mikataba ya ajira kwa wafanyakazi kinyume na hapo ni kuvunja sheria"-Rais Magufuli

=> "Serikali itaendelea kusaini na kuridhia mikataba ya kimataifa wafanyakazi yenye maslahi kwa wafanyakazi"-Rais Magufuli

=> "TUCTA endeleeni kuwaelimisha wafanyakazi ili fedha za bodi ya mikopo ya elimu ya juu ikusanywe kikamilifu - Rais Magufuli

=> "Tumebaini watumishi hewa 19706 waliokuwa wanaisababishia serikali Tsh Bil.230 kwa mwaka katika misharaha tu"-Rais Magufuli

=> Serikali itashughulikia suala la mfumuko wa bei ili kuondokana na ugumu wa maisha"- Rais Magufuli

=> Wapo walio na umri wa kustaafu lakini hawataki hawa nao tutaanza kuwafuatilia,hawana tofauti na watumishi hewa- Rais Magufuli

=> "Nilitaka nisafishe kwanza kabla ya kupandisha mishahara kwa wafanyakazi ili tusiwafaidishe wasiostahili"-Rais Magufuli

=> "Nawaahidi tutatoa ajira 52000 katika sekta mbalimbali baada ya kutoa watumishi hewa na walio na vyeti feki"-Rais Magufuli

=> "Yeyote atakayehamishwa hakuna kuhama mpaka ulipwe hela ya kuhamishwa"-Rais Magufuli

=> "Serikali ya Awamu ta Tano itaendelea kufanya kazi kwa ukaribu na TUCTA na ATE"- Waziri Jenista Mhagama

=> Nawahakikishia wafanyakazi kuwa tunaanza ukurasa mpya kwani Serikali tumeamua kwenda mbele"- Rais Magufuli

=> "Nasisitiza msiwahamishe wafanyakazi kabla hamjawalipa stahili zao"-Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

=> "Serikali ya awamu ya tano ipo pamoja na wafanyakazi na haitadharau wala kupuuza maombi yenu"-Rais Magufuli

=> "baada ya kufungua ubalozi Israel tumepata watalii zaidi ya 800 wakiongozwa na Waziri Mkuu mstaafu wa israel"-Rais Magufuli

=> "Niwaahidi wafanyakazi kuanzia bajeti ijayo tutaongeza mishahara kutoka kiwango kilichokaa kwa muda mrefu"-Rais Magufuli

=> "Mwaka huu tutapandisha madaraja ya kazi pamoja na kuweka nyongeza ya mishahara kuwa sawa na madaraja yake"-Rais Magufuli

=> "Kwa sheria zote zitakazoletwa kama miswada tutafanyia kazi kwa wakati ili mambo yenu yaende vizuri"- Spika Job Ndugai

=> Serikali hii itakuwa mtetezi namba moja kwa wafanyakazi"-Rais Magufuli
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad