UTOTO Wamtesa Tunda Kimapenzi..Afunguka ya Moyoni Jinsi Anvyotamani Kulala na Staa wa Nigeria Wizkid..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


UTOTO unaonekana kumtesa muuza sura kwenye video za wasanii wa Kibongo, Tunda Sebastian ambaye licha ya kuwa katika uhusiano wa kimapenzi na mtu mwingine, ameibuka na kudai anampenda ‘kufa mtu‘ msanii wa Nigeria, Wizkid.

Akizun-gumza na Risasi Vibes, mwanadada huyo alisema kuwa amekuwa akimzimia jamaa huyo kwa muda mrefu na ndoto zake ni siku moja kuwa naye kwenye uhusiano wa kimapenzi.

“Msema kweli mpenzi wa Mungu. Kiukweli ninampenda Wizkid. Ni bora niweke wazi maana hata nisiposema nitabaki naumia tu moyoni,” alisema Tunda.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad